AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na kipindi cha Ladha 3600 ya EFM, mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa nchini Master Jay amesema kuwa kwa Bongo ni maproducer wachache wenye maisha ya kwendana na hadhi yao.
“Kati ya maproducer wanaoishi maisha mazuri hapa mjini ni mimi na Hermy B,” amesema Jay.
Master ameongeza kuwa yeye alishtuka mapema ndio maana akaamua kuachana na kazi hiyo kutokana na kutoona faida na kazi hiyo wakati huo huo akiwa na familia inayomtegemea.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mimi naishi Ulaya na sio mtayarishaji wa muziki na wala sina kazi lakini naishi maisha mazuri kuliko Master j
ReplyDeleteBinadamu hajikwezi mwenyewe bali hukwezwa wewe kwenu nyinyi hapo juu mnaojisifia kimaisha sijui Master J na huyo anayedai anaishi ulaya
ReplyDelete