AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo huyo ambaye pia ni mtangazaji wa Choice FM, amesema kuwa video queen ni kazi ambayo inalipa tofauti na watu wanavyofikia.
“Unajua kazi yoyote ukiiheshimu ni rahisi nayo ikakuheshimu,” alisema Gigy Money. “Mimi hii kazi naiheshimu ndio maana imeniweka mpaka hapa nilipo. Sasa hivi mimi ni mtangazaji wa kituo kikubwa cha redio, kwa hiyo mimi naweza kuwaambia watu wanatakiwa kuiheshimu hii kazi kama kazi nyingine,”
Aliongeza,”Kusema kweli sasa hivi mimi ni moja kati ya video queen ambao tunafanya kazi nyingi lakini haya yote yanatokana na nikipata kazi naifanya isavyo, napiga mauno ya mwendokasi mpaka mtu labda alipanga kunipa scene moja anajikuta nanipa mbili au tatu,”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Vipi ikifikia siku mifupa imechoka kukata hivyo viuno inavyoviita vya mwendo wa kasi maana siku zinavyoenda na umri nao unaenda vile vile
ReplyDeletemrembo Gigy wewe piga kazi tu wewe kata mauno kwani tako unalo kwa nini usiwatingishie na mimi ningekuwa na tako kama lako ningewatingishia kila sehemu mpaka ufukweni mpaka watu wangenichoka
ReplyDelete