Mke wa Lema Aunganishwa Kesi ya Kumtusi RC Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MKE wa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, Neema Lema (33) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na kuunganishwa katika kesi ya mume wake ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kuwa ni shoga.

Akimsomea mashitaka hayo kwa mara ya kwanza, Wakili wa Serikali, Blandina Msawa mbele ya Hakimu Augustino Rwezile, alidai kuwa kati ya Agosti 20, mwaka huu ndani ya Arusha, Neema ambaye ni mkazi wa Njiro alimtumia ujumbe wa simu ya kiganjani mkuu huyo wa mkoa wenye lugha ya matusi, huku akijua ni kosa kisheria.

Alidai mtuhumiwa huyo alituma ujumbe kutoka namba 0764 150 747 na 0756 551 918 kwenda namba 0766 757 575 uliokuwa ukidai, “Karibu, tutakudhibiti kama Uarabuni wanavyodhibiti mashoga.”

Mshitakiwa alikana shitaka hilo na yupo nje kwa dhamana hadi Novemba 15, mwaka huu itakapotajwa tena kesi hiyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad