Mwanamuziki RUBY Awachana Waimbaji wa Kike Bongo.....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ruby amefunguka kwa kudai kuwa wasanii wengi wa kike kwenye muziki wamekuwa ni wabinafsi.

Muimbaji huyo mwenye sauti ya dhahabu, amemuambia mtandazaji wa kipindi cha Playlist cha Times FM, Lil Ommy kuwa huenda kungekuwa na wasanii wengi wa kike kwenye Bongo Fleva kama wangekuwa wanashirikiana kwa kufanya kazi kwa pamoja.

“Mimi hainiumi ila inanishangaza sana kwanini wanawake kwa wanawake hatusapotiani, mbona wanaume kwa wanaume wanafanya muziki wanafanya vitu vingi pamoja. Ni kitu cha ukweli kabisa kwenye industry wanawake hatufanyi kolabo wanawake kwa wanawake, ni kitu ambacho si kizuri kwa sababu huenda tungekuwa na wasanii wengi wa kike kwenye muziki,” amesema Ruby.

Ruby ameongeza kuwa msanii unatakiwa uwe mnyeyekevu kwa kila mtu lakini uangalie ni wakati gani unatakiwa kufanya hivyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad