MZEE wa Upako Aachiwa na Polisi...Agoma Kusema Kulichotokea Mpaka Kuwekwa Ndani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Anthony Lusekelo 
Siku chache zilizopita Mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako wa Kanisa la Maombezi lililopo Ubungo, jijini Dar es Salaam alikamatwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kufanyia fujo jirani yake huku akimtolea maneno yasiyo sahihi.

Inadaiwa kuwa,Mchungaji Lusekelo alifikia atua hiyo baaada ya kukerwa na tabia ya jirani yake huyo kutangaza kuwa yeye ni mlevi na hivyo hapaswi kuwa mchungaji.

Tangu aachiwe na Polisi, jana alifika kanisani kwake katika ibada ya Ijumaa kama ilivyo kawaida ambapo wengi walitegemea kuwa angewaeleza waumini wake kuwa ni kitu gani hasa kilitokea hadi akakamatwa na Polisi.

Tofauti na matarajio ya wengi, Mchungaji Lusekelo alisema hatozungumzia suala hilo na akasema kuwa ambao tayari wameanza kulizungumziawao wanendelee sababu inaonekana kama wao ndio wanajua ukweli sana.

“Kuna kitu nilikuwa nataka nikiseme, lakini sitakisema ili waendelee kusema hao hao waliokuwa wanasema. Sisemi chochote, hao waliosema wakawaulize wenyewe” alinukuliwa Mzee wa Upako akitoa maneno hayo wakati wa ibada.

Wakati akinendele na mahubiri yake kanisani hapo, alisema kuwa kuna watu walitamani asiwepo tena. Najua wapo na watashindana lakini hawatashinda na nina amini Mungu atawalipa sawa sawa na matendo yao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad