Tazama Video Mpya ya Msanii Wildad Kutoka Lebo ya The Industry iliyo Chini ya Navy Kenzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lebo ya The Industry iliyo chini ya umiliki wa kundi la Navy Kenzo imeachia ngoma nyingine ya msanii wao Wildad iitwayo Get It On.

Wimbo unapatikana Mkito na unaupata hapo chini.
Bonyeza HAPA


Msanii huyo wa RnB amekuja kuteka mioyo ya kina dada kwa muonekano na sauti yake ambayo ni kivutio kikubwa katika kuimba kwake.

Akizungumza mara baada ya kuachia wimbo huo kwenye ofisi za Mkito, Masaki jijini Dar Wildad amesema, “Nimekuja kuleta ladha mpya ya RnB na kipaji changu ni cha kipekee na lengo kubwa la ni kuvuka mipaka”.

Wildad alijiunga na “The Industry” May mwaka huu wa 2016 na ngoma yake pamoja na video vinaashiria kuwa ana matarajio makubwa ya kuifikisha RnB ya Tanzania kwenye matawi ya juu.

Itazame hapa video yake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad