AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu 76 wamethibitika kufariki dunia na 5 kunusurika baada ya ndege ya wachezaji kutoka Brazil kuanguka asubuhi ya leo. Kati ya waliofariki 22 ni Waandishi wa Habari.
Timu Atlético Nacional ambayo ilipaswa kucheza wa kwanza wa fainali dhidi ya timu ya Chapeonense yaomba Shirikisho la Soka barani Amerika Kusini(CONMEBOL) kukabidhi kombe kwa timu hiyo.
Msemaji wa Uwanja wa Ndege wa Medellin Bwana Jose Maria Cordova amesema kuwa ajali hiyo imechangiwa kwa kiasi kikubwa na hali ya hewa katika ukanda huo, kwani kupitia Sattelite radi na mawingu mazito yalionekana katika anga.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Udaku mmchelewa sana na hii habari ambayo ilitokea jana usiku
ReplyDeleteda R.I.P, sina hamu tena ya kupanda ndege kuja kusalimia ndugu bongo
ReplyDelete