PRODUCER Mr T Touch Adai Hataki Kusikia Habari za Nay wa Mitego

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtayarishaji wa muziki wa bongo fleva Mr T Touch ambaye kwa mwaka 2016 ametengeneza ngoma nyingi kali na zilizofanya vizuri katika vyombo mbalimbali vya habari amefunguka na kusema haitaji tena kumzungumzia Nay wa Mitego

Mr T Touch ambaye alikuwa ni moja kati ya maproducer wa Nay wa Mitego ambaye ametengeneza ngoma nyingi za Nay wa Mitego zilizofanya vyema sana kipindi cha nyuma alisema anawashukuru sana watu ambao wamekuwa na mchango kwake katika kufanikiwa na kupiga hatua za maendeleo.

"Nilishasema zihitaji habari za kiuhanagwa kama hizi, mimi sihitaji kumzungumzia huyo Nay wa Mitego, tuzungumzie shughuli yangu na mipango yangu kwa mwaka 2017 kwani mjini usipokuwa na shughuli watu hawawezi kukuelewa kidogo, kwa hiyo tusimzungumzie atakapokuwa na shughuli nadhani hiyo shughuli itanihusu kwa hiyo tusimzungumzie" alisikika Nay wa Mitego kwenye kipindi cha eNEWZ
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad