AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Mtoto Mdogo’ akiwa amemshirikisha msanii wa Singeli Man Fongo, hivi karibuni kupitia birthday yake alimtambulisha mpenzi wake huyo.
Katika instagram yake Shilole aliandika
:Mwaka unaenda kuisha je kipi umefanya cha maendeleo.???? Kwa upande wangu mm maendeleo yangu nimepata bwana mpya😂😂😂😂😂 joking
Kauli hiyo iliwafanya mashabiki wa mtandao huo kuanza kumshambulia muimbaji huyo. Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki wao.
Nick.mwenda
Vitu unavyovifanya leo najua baada ya miaka kumi ijayo ndo utaona faida yake au hasari zake hipo usiku hizo tatoo zitakukosti umri auludi nyuma Bali usonga mbele
Piei_raita
Enzi uko bongo movie nilikua nakukubali kinoma ila ulipoingia bongo freva umekua ni mtu wakushobokea mabwana wadogo wadogo mwishoe utanitaka na mimi
Jesikamwalongo
Angalia sana maisha yako usipende kuyumbayumba jua wewe no kioo kwa jamii,
Mbwenitegg
Sihuyo unatuonyeshA bwana Mpya maendeleo kwa upande wako Sasa hatujui kama kakuowa au bado boyfriend na girlfriend zile za usichana bado anyway good for you and life is not fun,
Fkibonde7
Hv mpk ss umekuwa na mabwana wangap na kwa nn unapenda vijana wadogo na unahic watoto wako wanajifunza nn toka kwako.
osca_john
Kunakipindi pesa sikitu jitaidi kuzingatia umakini usipagawe naustaaaa tulia tafakari usileweshwe nasifa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Yaani huyu m.mke anakunywa chai gani au v.thomu anapenda kweli kuvulia watu chuuup...
ReplyDelete