TUNDU Lissu : Tunakuja na Staili Mpya Kumkabili Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema kuwa vyama vya  upinzani vimejipanga vizuri kwaajili ya kukabiliana na Rais Dkt. John Magufuli .

Amesema hayo katika Semina iliyowashirikisha viongozi wa vyama vya upinzani kutoka Mataifa 16 iliyofanyika  Makao Makuu ya Chama hicho Kinondoni Jijini Dar es salaam, amesema  wanapambana kuhakikisha  uwanja wa siasa unakuwa sawa lazima wabadili staili ya kumkabili Rais Magufuli.

Lissu amesema watafanya siasa  ikiwa Magufuli anataka ama hataki, ama wanavunja Sheria ama hawavunji” Akipiga marufuku shughuli za kisiasa, hatuwezi kwenda kanisani kuomba, hapana lazima kazi ziendelee katika aina nyingine”amesema Lissu.

Aidha, Lissu ameongeza kuwa katika Uchaguzi uliopita haukuwa wa haki na huru ambapo mawakala waliokuwa wakihesabu kura walikamatwa  na kupelekwa polisi.

Hata hivyo ameongeza kuwa hali ya kisiasa ilivyo kwa sasa kiongozi yeyote atakayefanya siasa anaonekana kama mhalifu na hukamatwa na kupelekwa mahakamani, hivyo hakuna Demokrasia bali kuna udikteta mkubwa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Lissu, wewe na unavyo jijua mwenyewe.. Ati wanasema kama ni kweli sijui. Umeingia siasa.. Je toka lini? Mimi kwa uelewa wangu juu yako ni vingine kabisa mtoto wa Iramba. Tujuze basi. Mataifa au Kata? Funua ule mwenyewe.. Hapa kazi tu.

    ReplyDelete
  2. Lissu, wewe na unavyo jijua mwenyewe.. Ati wanasema kama ni kweli sijui. Umeingia siasa.. Je toka lini? Mimi kwa uelewa wangu juu yako ni vingine kabisa mtoto wa Iramba. Tujuze basi. Mataifa au Kata? Funua ule mwenyewe.. Hapa kazi tu.

    ReplyDelete
  3. Kukabiliana !! na Nani?

    ReplyDelete
  4. Hata wanaolipa nauli au kutumia gharama ya mafuta kusafiri kwenda kumsikiliza huyu Lissu ni wagonjwa wa akili
    Poleni ila mnahitaji matibabu ya akili nyote!!!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad