AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais mpya wa Marekani, Donald Trump aliungana na First Lady
Melania Trump kwenye hafla ya kusherehekea kuapishwa kwake, Ijumaa hii.
Aliungana na wanajeshi wa nchi hiyo mjini Washington. Familia yake
pamoja na Makamu wake, nayo ilikuwepo. Kwenye hotuba yake fupi kwenye
hafla hiyo, Trump ameahidi mabadiliko makubwa kwenye sera za nchi yake.
Tazama picha zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK