AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad bado anaamini atakuwa Rais wa Zanzibar akidai kwamba nchi alizopeleka malalamiko yake zimefikia katika hatua nzuri.
Tangu kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, 2015, Maalim Seif amekuwa akitoa kauli za matumaini akisema: “Mambo yaelekea kuwa mazuri.”
Hata hivyo, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyeshinda katika uchaguzi wa marudio wa Machi 20, 2016 ambao Maalim Seif aligoma kushiriki, amekuwa akisema kwamba hakuna mtu yeyote anayeweza kumwondoa madarakani, awe wa ndani au nje ya nchi.
Akizungumza katika kipindi cha Funguka kinachoendeshwa na Tido Mhando kupitia Kituo cha Televisheni cha Azam, Maalim Seif alisema wananchi wasifikiri kuwa mataifa hayo yamenyamaza, bali suala hilo litapatiwa ufumbuzi na atapata haki yake hivi karibuni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK