Mwana FA: AY Alinitosa Kwenye Collabo ya Zigo Remix

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Pamoja na urafiki au ukaribu uliopo kati ya Mwana FA na AY lakini kumbe inapofika kwenye kazi huwa inakua tofauti. Mwana FA amesema kuna kolabo ambayo aliomba kushiriki lakini nae ‘akatoswa’ na ameitaja wazi kolabo ambayo aliomba kuifanya ni 'Zigo Remix'.

"Kolabo niliyoomba ni Zigo. Kwanza mimi niliitaka mwanzoni kabisa nikamwambia eh bwana eh mi naomba hii. Sasa AY akaitoa halafu akanipa beat fanya hiyo kama unataka. Nikamwambia umeshatoa mimi sitaki tena". 

"Akaja akafanya Remix na Diamond halafu nilipoisikia nikasema eeh bwana ehe humu kama ningekuwa nimepitisha kumi na sita zangu ingekuwa fresh kweli lakini ikawa imeshatoka"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad