AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pamoja na kwamba mwili ulibaki mifupa lakini, mwili huo umekutwa ukiwa na nguo zinazo ashiria marehemu ni mwanaume. Alivaa suruali ya kitambaa nyeusi, shati leupe lina mistari ya pundamilia meusi, na shati kifuani lilikuwa limejaa damu. Kwa jinsi nguo zilivyo inaonekana huyo mtu hakufa muda mrefu sana.
Taarifa ilitolewa polisi na wakauchukua mwili na kuendelea na taratibu zao
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK