Wasichana wa kiislamu kuogelea na wavulana Uswizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kesi hiyo iliamuliwa kwenye mahakama ya haki za binadamu ya Ulaya

Uswizi imeshinda kesi kwenye mahakama ya haki ya ulaya, ambapo wazazi waislamu watahitajika kupeleka watoto wao kushirika mafunzo ya pamoja ya kuogelea.

Mahakama ilisema kuwa utawala una jukumu la kuhakikisha uwepo mfumo kamili wa masomo na kujumuishwa kwa wanafunzi.

Hata hivyo mahakama hiyo imekiri kuwa uhuru wa kuabudu umekiukwa.

Kesi hiyo iliwasilishwa na raia wawili wa Uswisi wenye asili ya Uturuki ambao walikataa kuwapeleka wasichana wao kwa mafunzo ya lazima ya pamoja.

Maafisa wa elimu hata hivyo wanasema kuwa wasichana waliofikisha umri wa kubalege hawatalazimishwa kuhudhuria mafuzo hayo.

Mwaka 2010 baada ya mzozo uliodumu muda mrefu, wazazi hao waliamrishwa kulipa faini ya takriban pauni 1,100 wa kukiuka majukumu yao kama wazazi.

Walisema kuwa hatua hiyo inakiuka kipengee cha haki za bianadamu cha tume ya ulaya kinachojumuisha haki ya kuabudu.

Mahakama ilisema kuwa Uswisi ilikuwa huru kubadili mifumo yake ya elimu kuambatana na mahitaji na tamaduni.

Pia ilisema kuwa shule zina jukumu kubwa la kuwepo mchanganyiko wa kijamii.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad