AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la polisi la nchi hiyo limedai kuwa waziri huyo amepigwa risasi wakati akielekea nyumbani kwake huko Rohero. Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ameahidi kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa yeyote atakayefahamika kuhusika na mauaji hayo.
Hili ni tukio la kwanza nchini humo kuuawa kwa kiongozi wa serikali lakini tayari wameshawahi kuwapoteza maafisa kadhaa kutoka kwenye jeshi la nchi hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK