Yeleuwiii..Eti Gigy Money Anataka Kuokoka Ila Sio Sasa..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MUUZA sura kwenye video za Bongo Fleva ambaye pia ni mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Choice FM, Gift Stanfod ‘Gigy Money’ hivi karibuni amefunguka kuwa, katika maisha yake, ipo siku ataachana na mambo yote yasiyompendaza Mungu kisha kumtumikia muumba wake.

Akipiga stori mbili tatu na Global Publishers, Gigy aliweka wazi kuwa, katika maisha ya mwanadamu, hasa kijana hukumbana na changamoto nyingi za kimaisha ambazo wakati mwingine humfanya kumkosea muumba wake, lakini inafikia hatua anaamua kuacha kila kitu na kufanya yanayompendeza Mungu.

“Unajua sometimes tunadondoka dhambini, lakini si kwa mapenzi yetu, binafsi ipo siku tu, nitaachana na mambo ya kidunia na kusimama kwa Mungu,” alisema Gigy asiyeishiwa vibwanga.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad