MremboTunda Bata Kama Kawa..Adai Ndio Maisha Aliyochagua Kuishi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muuza nyago kwenye video za mastaa wa Bongo Fleva, Tunda Sebastian ambaye wiki chache zilizopita alikumbwa na msala baada ya kuitwa kuhojiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi ‘Sentro’ kwa wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguka kuwa, licha ya kukumbwa na sekeseke hilo, hawezi kuacha maisha ya kula bata.



Akipiga stori na Over Ze Weekend baada ya kuulizwa kama amebadili mfumo wa maisha aliyokuwa nayo mwanzo ya kuonekana akijiachia kwenye mahoteli makubwa, Tunda alisema kuwa hayo ndiyo maisha aliyochagua kuishi na kamwe hawezi kubadilika.



“Hayo mambo ya bata ndiyo maisha yangu, siwezi kuacha na wala hayaingiliani na msala nilioupata kwani uzuri situmii pombe. Hata kwenye mambo ya mavazi ndiyo mfumo wa maisha yangu, siwezi kusema kuwa nitaacha kuvaa hivi, bali nitabadilika kuendana na mazingira,” alisema Tunda
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Niswalie mtume mtoto wa kike hiyo mipombe yote michupa mikubwa kuliko mwenyewe hunywi pombe hongera but be careful

    ReplyDelete

Top Post Ad