AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MZAZI mwenzake na staa wa Hip Hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema ameibuka na kutoa simulizi yake ya nyuma na kusema kamwe hatasahau mzazi mwenzake huyo alivyomuongopea na kumpiga shilingi milioni 7 taslimu.
Siwema aliivujisha ishu hiyo hivi karibuni wakati mwanahabari wetu alipomtaka aseme kitu gani ambacho hatakisahau kutoka kwa mpenzi wake huyo wa zamani ndipo mrembo huyo alipofunguka hayo lakini akasema hata hivyo, alishasamehe kwa sababu yalitokea kwenye kipindi ambacho penzi lilikuwa motomoto.
“Si unajua tena mtu ukikolea, kuna kipindi aliniambia ametaitiwa polisi, zinahitajika hela, nilipata mshtuko kweli, ikabidi niende benki haraka, nikamtumia. Nilishasamehe maana tuliyazungumza na tukiwa kama wapenzi yaliisha, ila sitasahau aisee,” alisema Siwema.
Alipotafutwa Nay ili kumsikia kama ana lolote kuhusu ishu hiyo, simu yake iliita kwa nyakati tofauti bila kupokelewa kwa takriban wiki tatu mfululizo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK