Aunt Ezekieli Alilia Watoto ...!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MSANII wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amedai kwamba anatamani kupata watoto zaidi kwa kuwa huu ndio wakati wake wa kufanya hivyo na hajui atapata watoto wangapi katika maisha yake.

Aunt Ezekiel ambaye yupo kwenye uhusiano na dansa wa msanii Diamond Platnumz, Mose Iyobo, amesema kwa kuwa ndio wakati wake wa kufanya maamuzi sahihi na haoni idadi kamili ya watoto atakaokuwa nao katika familia yake na Iyobo.

“Nilitamani kuitwa mama sasa naitwa mama, naomba Mungu anisaidie nikuze familia yangu na anibariki nipate watoto wengine kwa kuwa watoto ndiyo furaha yangu zaidi,” alisema Aunt Ezekiel mwenye mtoto anayeitwa Cookie.

“Mtoto wangu wa pili natamani awe wa kiume na wengine zaidi ambao hata sijui watakua wangapi watakaokuwa na jinsia yoyote nitafurahi kwa kuwa tamaa yangu ni kuwa na watoto wengi,” alisisitiza.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad