Baada ya Kuwa Kimya na Ubize wa Kunyonyesha Zari Aibuka Kivingine kwa Staili Hii Mpya..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Changamoto kubwa aliyonayo mwanamke baada ya kujifungua mtoto ni kulirudisha umbo lake katika ubora wake

Na kwa wanawake ambao uzuri na muonekano wao ni kipaumbele cha kwanza, hali huwa tete zaidi. Lakini si kwa Mrs Chibu Dangote, Zari the Bosslady ambaye ameonesha kufurahia jinsi alivyorudi kwenye reli fasta.

Amepost picha za muonekano wake wa miezi mitatu na nusu tangu apate mtoto wa pili na Diamond na so far yeye mwenyewe anaridhika na maendeleo ya umbo lake huku pia akitoa tips kwa wanawake wengine.

“You can achieve it if you put your mind onto it then implement it. #HerbalLife #Snapback 3months and a half… yes you can do it,” ameandika kwenye selfie aliyoiweka Instagram.

Kwenye picha nyingine ameandika, “diets needed, am a typical African woman who loves her food, just learn how to eat right, exercise and drink lots of water for your skin.”

Hakuacha kuwapa ‘haters’ vidonge vyao pia, “They will need respirators trying to keep up with me. I have no brakes so I ain’t stopping soon @GrindMode.”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad