AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bill Gates hakamatiki – ameendelea kuongoza orodha ya matajiri duniani. Muanzilishi huyo wa Microsoft ametajwa na jarida la Forbes kuwa na utajiri wa dola bilioni 86 kutoka dola bilioni 75 ambao alikuwa nao mwaka jana.
Forbes imetanganza kuongezeka kwa idadi ya matajiri zaidi katika orodha hiyo ambao wamefikia 2043 huku Marekani katika orodha hiyo imeingiza matajiri, China inashika nafasi ya pili ikiwa na mabilionea 319 na Ujerumani ipo katika nafasi ya tatu ikiwa na mabilionea 114.
Hii ni orodha ya matajiri kumi zaidi duniani:
1.Bill Gates – $86bn
2.Warren Buffett – $75.6bn
3.Jeff Bezos – $72.8bn
4.Amancio Ortega – $71.3bn
5.Mark Zuckerberg – $56bn
6.Carlos Slim – $54.5bn
7.Larry Ellison – $52.2bn
8.Charles Koch – $48.3bn
9.David Koch – $48.3bn
10.Michael Bloomberg – $47.5bn
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK