Davido: Nampenda Sophia Kinoma!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


LICHA ya hivi karibuni kuweka hadharani kuwa anatarajia kupata mtoto wa pili kwa demu wake mpya mwenye asili ya Marekani, Mandy, staa wa muziki kutoka Naija, David Adeleke ‘Davido’ amefunguka ya moyoni kuwa bado anampenda kinoma mzazi mwenzake wa kwanza aitwaye Sophia Momodu aliyezaa naye mtoto mmoja, Imade.

Davido aliyasema hayo alipofanyiwa mahojiano na redio moja nchini Nigeria kuwa, hawezi kumsahau wala kumtupa mzazi mwenzake kwa kuwa amezaa naye.

“Nampenda mzazi mwenzangu, haahaa, Sophia sikia hii popote ulipo!” Davido na Mandy walianzisha uhusiano Atlanta, Georgia huko Marekani na hadi sasa demu huyo ameshakanyaga Jiji la Lagos anapoishi Davido mara moja yaani Desemba 2016.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad