AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Najua hofu mliyonayo watanzania juu ya huyu Rc.
Ikiwa mamlaka zitaendelea kufumbia macho.Mimi Elibariki Immanuel Kingu mbunge wa CCM nitakuwa wa kwanza kufukuzwa CCM kama kupinga matendo maovu ya Rc huyu itaonekana ni usaliti kwa nchi.
Haiwezekani Rais wetu atukanwe kila kona kwa matendo ya mtu huyu.
Wana CCM ukimya wetu kwenye hili halikubaliki.
Magufuli juzi ametuliza Dodoma kwa kuongea kwa hisia.Idara za usalama kweli mmeamua kuacha tutukanwe?
Naomba sasa niweke kumbukumbu sawa najua mnamchafua kila anayempinga RC huyu kwa matendo yake ambayo yanakiuka utawala bora.
Naomba niwe wa kwanza kufukuzwa CCM kwa kumpinga Rc Makonda
Elibariki Immanuel Kingu
Mbunge.
Source:Jamii Forums
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HAPA VYETI TU BASHITE
ReplyDelete