Haya Hapa Maujanja ya Kutengeneza Natural Viagra, Mademu Lazima Wakukome..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nimeamua kuisaidia kambi yangu ya kiumeni manake wachuchu wanaishambulia sana, mara ooh Sku hizi wachezaji wamekuwa wachovu,
Mara wanasema eti hatufungi magoli ya uhakika na wengine wanafika mbali zaidi wakisema eti hatuwezi kuhimili mchezo kwa dakika 90 Kudadekii..

Sasa nasemajeee wanawake mjiandae...

Mazee miluzi mingi humchanganya mbwa! Sasa mimi ngoja niende straight to the point, Le'go..

JINSI YA KUANDAA MCHANGANYIKO WA NATURAL VIAGRA

Vinavyohitajika

i.¼ Tikikiti maji ( watermelon)
ii.1 Limau (lemon)
iii.1 Komamanga(pomegranate)

Jinsi ya kutengeneza

- Chukua hivyo tikiti likate vipande vidogovidogo( hata ule utando mweupe wa chini pia muhimu sana hivyo hakikisha unalikwangua vizuri), kisha viweke pamoja na hayo matunda mengine kwenye blenda kwaajili ya kusagwa.

- Visage vizuri mpaka viwe juice, kisha chukua juice yako weka kwenye sufuria alafu viweke jikoni vichemke, hakikisha vinachemka mpaka vinatoa mvuke wa kuevaporate,

- Baada ya hapo iepue kisha iache ipoe kwa muda kama wa saa1(lisaa limoja),

- Hapo sasa weka kwenye chupa au chombo chenye mfuniko kisha hifadhi kwenye friji, na hapo utakuwa umeshatengeneza, twende kwenye matumizi sasa tehetehe leo mademu watakoma leooo!

Jinsi ya kutumia

- Kila siku asubuhi kunywa 1/3 ya kikombe au glass, hakikisha unakunywa kabla haujala chochote( empty stomach)

- Fuata utaratibu huo pia kabla ya msosi wa mchana.

NB: Hiyo ni juice ya asili kabisa ambayo itakwenda kurekebisha msukumo wako wa damu mwilini na kukuongezea stamina ya kupafomu shoo ambayo sio ya nchi hii,
Na pia hiyo juice inaweza kutumiwa na mtu yeyote kwasababu haina side effects.

ONYO: Hiyo juice baada ya maji usiichanganye na kitu chochote kile mfano Sukari, chumvi, Ladha(taste), rangi, au kiungio chochote kile kwa sababu vinaweza kuipunguza nguvu ya utendaji kazi.

Vilevile Wakati unachanganya hayo matunda usitoe mbegu, changanya na mbegu zake...
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sorry mbna muda wa matumizi wa viagra haukuainishwa???
    Inatumiwa ndani ya muda gani

    ReplyDelete
  2. If you are naïve, busy or just plain lazy and have soccer match to be watched in 20 minutes, you would Google around with the phrase 'buy Viagra online UK' and the very first website you see would be the place from where you obtain Viagra online pills

    ReplyDelete
  3. The magical blue pill Viagra, launched in 1998 it was an instant success. Nobody has ever thought that erection could be achieved by taking a simple stamina pills

    ReplyDelete

Top Post Ad