Hiki Hapa Kisa cha Man Fongo Kumpa Makavu Live Msaga Sumu...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa singeli Bongo, Man Fongo amemjia juu msanii mwenzake wa muziki huo, Msaga Sumu na kuikosoa kauli yake ya kujiita 'Mfalme wa Kisingeli' kwamba siyo kweli, na kwamba Msaga Sumu hana sifa za kujiita 'mfalme wa singeli'

Hivi karibuni Msaga Sumu alizungumza na eNewz na kubainisha kuwa wasanii wengi wa singeli hawana ubunifu, na ndiyo sababu muziki huo unaelekea kuwa kwa kuwa wanashindwa kutoa kazi zenye utofauti, huku akijiita kuwa yeye ndiye mfalme wa singeli Tanzania.

Akionge kupitia kipindi cha eNewz cha EATV, Man Fongo amesema "Kama anasema kwamba sisi hatuna uwezo siyo kweli na kama kweli yeye ni mfalme mbona hajaachia nyimbo tangu mwaka huu uanze? Mimi nitaachia nyimbo tuone kama haita sikika. Namuona Msaga Sumu kwangu bado kabisa kwa kuwa tunaimba aina tofauti ya muziki"

Hii ni ishara kuwa huenda Man Fongo akawa anakerwa zaidi na Msaga Sumu kujiita Mfalme wa Singeli
Hata hivyo Man Fongo amewasihi wasanii wa nyimbo za singeli kupendana ili kuweza kufanya mapinduzi makubwa katika muziki na kuweza kwenda sawa na muziki wa bongo fleva
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad