Iyobo ..Siachi Kunengua Ng'oo..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MNENGUAJI wa kundi la Wasafi Classic (WCB), Moses Iyobo, amesema hajawahi kufikiria kuwa mwimbaji kwakuwa ni kazi inayohitaji kutumia akili nyingi tofauti na unenguaji.

Iyobo ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na aina yake ya uchezaji, amesema ataendelea kubaki kuwa mnenguaji katika maisha yake yote sambamba na kuwa mwalimu kwa wenzake.

Alisema kazi ya kuimba inahitaji akili nyingi ili kufikia malengo hivyo ataendelea kubaki na kazi yake ya unenguaji.

“Nitabaki kuwa dansa maisha yangu yote, labda nitakachoongeza hapo ni kuwa mwalimu na kuwafundisha wengine, unajua kuimba kunahitaji akili nyingi ili ufanikiwe. Sasa kwa upande wangu sitaweza ni bora nibaki huku huku ndio pananifaa zaidi,” alisema Iyobo ambaye ni mpenzi wa msanii Aunt Ezekiel.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad