Jifunze Jinsi ya Kufanya Uke Uliolegea Uwe Mnato...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


(ngoja niseme maana wanaume wengine wanaona aibu kusema)

Ukweli ni kwamba uke uliolegea hupunguza ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume wengi

Tatizo la uke kulegea au kutepeta ni tatizo linalotokana na kulegea kwa misuli ya uke, hali hii husababisha Uke kulegea au wanaita Kutepeta(unanipata bibieee!!!!!)

Mara nyingi wanaume waliooa wake au kuwa na wapenzi ambao wana matatizo ya uke uliolegea au kutepeta hua mara nyingi inatokea wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi na hao wake zao au wapenzi wao au hata mwanaume kushindwa kumudu vyema tendo hilo kwa maana ya kutokuweza kurudia bao la pili ikiwa atajitahidi kumaliza kushusha bao la kwanza na kujikuta mzuka wooooooooote umekwisha

SABABU ZA UKE KULEGEA AU KUTEPWETA

Baadhi ya sababu zinazopelekea misuli ya uke kulegea na kusababisha mwanamke kua na uke uliolegea au kutepeta nazo ni hizi zifuatazo;

(a) Magonjwa ya uke

(b) Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara

(c) Kujifungua

(d) Usagaji

DAWA YA UKE ULIOLEGEA AU KUTEPWETA

Chukua kokwa za embe za kutosha zianike juani mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini

MATUMIZI

Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku

Fanya zoezi hilo kila siku mpaka bibi awe mnatoooo

ZINGATIA

Uke utaanza kubana siku ya tatu tu mara baada ya kuanza kutumia dawa.

Ukipenda SHARE wengine pia wapate faida hii
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kutana na dr mitishamba kutoka tanga ..anatibu ugumba..uzazi kukuza shape na hips...kukuza uume na kunenepesha...kupata uzao mapacha ...mpigie kupitia 0744903557 tanga

    ReplyDelete

Top Post Ad