Kimenukaaa.. : Joshua Nassari Aibuka Sakata la Nape na Kuandika Ujumbe ‘Tata’..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nasari ameandika ujumbe mzito sana kwa ajili ya kuwakumbusha watanzania hasa Mwakyembe ni Mtu wa namna gani hasa baada ya kusema kuwa Ripoti ya Nape Nnauye juu ya Uvamizi wa RC Makonda alioufanya katika kituo cha Clouds tv.

Nasarri Ambae ni mbunge Machachari sana, kupitia Ukurasa wake wa Facebook ameandika yafuatayo; “Dunia inazunguka kwa Kasi, Leo Mwakyembe anasema hawezi kuifanyia kazi Ripoti ya kamati ya Nape Nnauye kwa sababu ni ya upande moja na upande wa pili haikusikilizwa,Mwaka 2008 Mwakyembe aliwasilisha Bungeni Ripoti ya Richmond iliyomtuhumu Edward Lowassa bila ya kumhoji Mhusika Mkuu kwenye ripoti ya Richmond Edward Lowassa.”

Nini Maoni yako juu ya hili?
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad