AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu kumi na tano wamekamatwa na jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salamu kwa kosa la kukaidi agizo la serikali lililowataka kuondoka maeneo ya mabondeni.
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam Saimon Sirro amesema watu hao wamekamatwa na kupelekwa mahakamani kujibu mashtaka ya kukaidi kuhama maeneo hatarishi na kwamba eneo hilo ni mali ya halmashauri ya manispaa ya Ilala.
Hata hivyo kamanda Sirro amesema hali ya usalama katika jiji la Dar es Salaam imetengamaa, ambapo jeshi hilo limefanikiwa kudhibiti vikundi vya kihalifu.
Aidha jeshi hilo limefanikiwa kuwakamata wezi wa magari na uchunguzi bado unaendelea.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK