Kwa Niliyoyaona Wodi ya Wazazi ,Si Mtii Mimba Tena Mke Wangu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aisee wakuu muwe mna waheshimu sana mama zenu kwa kweli ,kwa niliyoyaona wodi ya wazazi aiseee nimeathirika kisaikolojia sitamani tena kumtia mimba mke wangu nahisi kama atakufa kwa kweli.

Roho ilikuwa juu juu kipindi mke wangu anaenda kujifungua ,nilivyoingia wodi ya wazazi ndio kabisa nikaishiwa nguvu kwa kuwaonea huruma.

Jamani jamani wanawake wanateseka sana wakiwa wanajifungua yani nilihisi mke wangu hatoki akiwa hai lazima afe.

Kwa kweli hata nikipita mtaani minions mwanamke ana ujauzito natamani kulia kwa kumuonea huruma ,Sitamani kabisa kumpa mke wangu mimba kama kungekuwa na uwezekano wa kufunga kizazi kwa mwanaume ningeenda walai 

Maana wanawake wanapitia mateso makubwa sana.

Ushauri wenu wakuu niondokane na hii hali .
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad