Matokeo ya Droo ya UEFA Champions League Hatua ya Robo Fainali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Leicester City itakutana na klabu ya Uhispania Atletico Madrid katika robo fainali ya kombe la vilabu bingwa Ulaya.

Mabingwa hao wa ligi ya Uingereza walisonga na kuingia katika robo fainali ya mchuano huo baada ya kuishangaza miamba wa Uhispania Sevilla 3-2 kwa jumla.

Leicester itacheza awamu ya kwanza ya mechi hizo nchini Uhispania mnamo tarehe 11 ama 12 ya Aprili huku mechi ya marudiano ikichezwa kati ya tarehe 18 na 19 ya Aprili.

Mabingwa watetezi Real Madrid watakutana na Bayern huku Barcelona wakimenyana na Juventus.

Borussia Dortmund kutoka Uingereza itacheza dhidi ya Monaco.

Atletico Madrid (Spain) v Leicester City (Eng)

Borussia Dortmund (Germany) v Monaco (France)

Bayern Munich (Germany) v Real Madrid (Spain)

Juventus (Italy) v Barcelona (Spain)
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad