Noma Sana ..Ujerumani Yaomba Msaada Tanzania...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ujerumani imeiomba Tanzania kuiunga mkono katika harakati zake za kutafuta nafasi katika Baraza la usalama la umoja wa mataifa uchaguzi utakaofanyika mapema mwaka 2018.

Ujumbe wa Ujerumani umewasilishwa Tanzania na mjumbe maalum wa Kansela wa Ujerumani Angela Merkel kwa Rais Dkt John Magufuli na balozi Harro Adt,na kusema nchi yake inaomba nafasi hiyo huku ikiwa na agenda nne muhimu.

Akizungumza mara baada ya kupokea ujumbe huo maalum kutoka Ujerumani kwa Niaba ya Rais Dkt John Magufuli,Waziri wa mashauri ya kigeni wa Tanzania Dkt Agustine mahiga amesema wanatambau mchango wa Ujerumani kwa taifa na afrika kwa Afrika kwa ujumla.

Katika kutafuta nafasi hiyo katika Baraza la usalama la umoja wa mataifa nchi tatu zitakuwa zikiwania nafasi moja huku Isarel na Ujerumani zikipigiwa upatu zaidi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad