Noma Sana..Serikali ya Magufuli Yataka Trilioni 31.6 za Matumizi Tu...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Serikali imewasilisha bungeni mapendekezo yake ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na ya kiwango na ukomo wa bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2017/18 na inatarajiwa kukusanya na kutumia kiasi cha Sh 31.6 trilioni.

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ameyasema hayo jana wakati akiwasilishwa mapendekezo hayo bungeni mjini hapa.

Pia, fedha za maendeleo zimeongezeka kutoka Sh11.8 trilioni mwaka 2016/17 hadi Sh11.9 trilioni mwaka 2017/18 sawa na asilimia 38 ya bajeti yote.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Bajeti za tanzania zimekuwa za kujifurahisha kusimama kusoma huku hali ya huduma za msingi zikiwa ni shida kwa wananchi

    ReplyDelete

Top Post Ad