Rasmi..Diamond Avunja Ukimya Kuhusu Utajiri Wake..Aeleza A - Z Jinsi Anavyoupata..Wengi Wapigwa Butwaa..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’, amefichua moja ya siri ya mafanikio yake makubwa kiuchumi ni kusaidia watu wenye uhitaji.

Diamond ambaye anatajwa kama msanii anayeongoza kwa kipato nchini, amesema anajisikia ufahari mkubwa kuona anaweza kuwasaidia watu wenye uhitaji na amekuwa akipata baraka zaidi kupitia kazi zake.

“Unajua watu wengi hawajui ukitoa unazidi kubarikiwa, hii kwangu imekuwa sehemu ya mafanikio sana, huwa najisikia mwenye bahati kubwa nikimsaidia mtu mwenye uhitaji kwani naamini lazima nitafanikiwa,” alisema Diamond.

Alisema amekuwa akikutana na changamoto nyingi ikiwamo watu wengi kuhitaji msaada kutoka kwake, lakini amekuwa akiwalenga wale ambao yeye anaamini wanahitaji msaada zaidi kwake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad