Shehena Kubwa ya Pombe Aina ya Viroba Kutoka Nchi ya Uganda Yakamatwa Wilayani Muleba...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shehena kubwa ya pombe haramu iliyofungashwa kwenye mifuko aina ya viroba kutoka nchi ya uganda kwa njia za magendo imekamatwa ikiwa imehifadhiwa kwenye gari lililojengwa nje ya mji kata ya Nshamba wilaya ya Muleba mkoa wa Kagera huku kiwanda cha kuzalisha pombe kali inayosadikiwa haifai kwa matumizi ya binadamu kimefungiwa.

Kukamatwa kwa ghala lililosheheni pombe kali kutoka nchi jirani ya Uganda na kufungwa kwa kiwanda cha pombe kali ni matokeo ya operesheni inayohusisha jeshi la wananchi, uhamiaji,magereza,polisi na mgambo kwa lengo la kudhibiti matumizi ya dawa za kulevya na pombe haramu hapa nchini ambapo operesheni hiyo imefanikiwa kuwakama ta watuhumi wa watatu wakiwa na katoni 800 za viroba na tani nane za kahawa ikisafilishwa kwa njia za magendo nje ya nchi kinyume cha sheria.

Kwa upande wake mganga mkuu wa wilaya ya Muleba Dkt. Modest Lwakahemula amebainisha madhara ya kutumia pombe kali.

Baadhi ya wananchi wameipongeza serikali kuanzisha operesheni ya kudhibiti matumizi ya dawa za kulevya na pombe kali hapa nchini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad