Siri Imevuja ...Rais Magufuli Anachukiwa na Hawa na kwa Sababu Hizi...!!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


1. Anachukia rushwa ,watoa rushwa wanaotaka kupata madaraka kwa kutoa rushwa !! Watu wengi hawajiamini kiasi ya kwamba wanaona wasipotoa rushwa wanaamini hawawezi kuchaguliwa!! Hawa wakishagawa pesa wanakuwa wamenunua akili za watu!! Wanakuja na ka msemo kuwa tunapendwa sana!!wanajificha ndani ya kichaka cha demokrasia maamuzi ya wengi lazima yafuatwe!! Ukiwabana utasikia wanalia eti katiba ya chama imebakwa!!Hawa lazima wamchukie JPM

2. Wapiga dili: wako watu kwa miaka mingi walijificha ndani ya chama kwa lengo LA kuficha maovu yako mfano kukwepa kodi( wafanyabiashara) ,kufanya biashara haramu ,kujipatia kipato isivyohalali,nk!! Kwa sababu alikosekana msemakweli na MTU Wa kuwakemea ndiyo maana walijificha humo.watu hawa wanafikiri ni enzi za myaka ya 90 kwamba MTU akipendekezwa na CCM lazima atashinda, wanafikiri CCM itatawala milele vyovyote vile! Hawaamini katika kutenda meema ( siyo kutoa rushwa au kupokea rushwa) ili uchaguliwe kwa njia ya haki( kidemokrasia) ! Hawa wamekifitinisha chama kwa wananchi wakawaida!! Hawa lazima wamchulie rais JPM

3. Wapinzani japo siyo wengi ambao ni wachumia tumbo!! Hawa pesa kwanza uzalendo baadae,nchi baadae chama baadae,mwanachi baadae!! Wako tayari kusema uongo na kuutetea kwa sababu wanajua watanzania tunapenda kusikia siyo kufanya utafiti na kujiridhisha juu ya kilichosemwa na MTU huyu!! Hili ni tatizo kubwa katika nchi maskini kama Tanzania!! MTU akisema kitu tunaamini hivo hivo kama mazuzu!!
Wapinzani ambao wao ni kupinga kila JPMu wanakiri huo ndiyo upinzani Wa kweli!! Hawa lazima wampinge rais JPM

4. Watu ambao walitegemea kupitishwa na chama ili wachaguliwe!! Japo siyo wengi lakini nao wanaweza kumchukia rais! Huko nyuma watu waliacha kuamini chama wakaanza kumwamini MTU!! Hili nalo ni shida!! Sasa rais anaposema watu waamini chama kuliko MTU( na huu ndo msingi imara) lazima nao wamchukie rais!!

5. Kuna watu utafikiri waliajiriwa na watu ili kazi yao iwe kukosao kila kitu kifanywacho na rais!! Hawa wanamtumikia mgombea Fulani wa urais.Wanafanya hivyo kutaka kuwaminisha wananchi wasiyotumia akili kufikiri kuwa JPM hafai Mara ni mkurupukaji,anaonea watu,ana double standards katika kushugulikia waovu!! Hawa watu ni hatari kwa maendeleo na mstakabali Wa taifa letu!!

6. Kuna watu wanataka kuendekeza ukabila na udini ndani ya taifa letu!! Kipindi cha uchaguzi liko kabila La mbali ( silitaji) walifurahia mgombea fulani ( simtaji).Nikijiuliza maana yake nini jameni!! Ukabila ni hatari sana kwa Amani endelevu ya taifa!! Burundi hakuna amani kwa sababu ya ukabila nakadhali nchini Rwanda ,Kongo,sudani kusini hakuna Amani kwa sababu ya ukabila! MTU anayetaka kuendekeza ukabila ni wakuchukia kama ukoma!! Hafai kuwa kiongozi wetu!!

7. Watu ambao hawakapata ajira,watu ambao wanavyeti feki,watu waliyofukuzwa ajira, hawa lazima wamchukie JPM! Nafikiri ni muda mzuri kwa serikali yetu kupunguza maadui Wa rais wetu kwa kutoa ajira kwa vijana wetu waalimu ,madaktari,ma injinia nk!
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad