Tiba kwa Mpenzi Anayekojoa Kitandani...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni matumaini yangu mpo salama,
Naamini kuna watu humu wamewahi kuachwa au kuachika kisa kuwa na tabia ya kujikojolea kitandani wakati wa usiku,

Baadhi ya wanandoa wanapitia kero hii sana sema huhifadhiana siri kwa sababu walisha kula kiapo cha pingu zamaisha,
Baadhi yao uzalendo huwashinda pale chumba kinapoanza kunukia kibeberu beberu na kuamua kuvunnja ndoa zao,

Usifadhaike ,

Kama una mpenzi, ndugu, jirani au mtoto mwenye tatizo la kukojoa kitandani leo ninamwaga tiba yake hapa ili mkapate kuwasaidia,

TIBA,
Ufuta mbichi (ambao hauja kaangwa),
Unapatikana sokoni, 
Baada ya kuununua upepete ili kuondoa mchanga na vumbi,
Baada ya hapo tafuna vijiko vinne vya ufuta kutwa mara tatu, tumia kuanzia siku tatu na kuendelea,
Utapona kabisa na itabaki kuwa historia,
Hii imewasaidia wengi sana,

Kwa leo naishia hapa,
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad