AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Najua wengi mtashtuka na wengine kunipinga hadi kunibishia ila kwa ushahidi wa jicho la Tatu na la msaada wa Wataalam wa Saikolojia na Wabobezi waliotukuka kwa Utambuaji wa Mtu / Watu yule Mtu tunayeambiwa kuwa ndiyo alimtolea Bastola Nape Nnauye pale Protea na ambaye picha zake zinasambazwa Mitandaoni siyo Mhusika halisi bali tumedanganywa.
Ili kuweza kuamini hili tafadhali hapo hapo ulipo itafute picha ile ya yule wa Protea kisha kwa umakini wako mkubwa kabisa huku ukiwa umetuliza akili zako zote ilinganishe na hizi picha zinazotembea Mitandaoni na utapata jibu.
Mbinu iliyotumika hapa ni ya Kijasusi zaidi na ya hali ya juu ambapo kuna Mtanzania mmoja anayeaminika yupo Ughaibuni na hupenda mno kukurupuka kuwalisha matango pori Watanzania na wapo wanaomuamini hivyo kilichofanyika kwakuwa anajulikana kuwa na ' kiherehere ' Watu wenye Kazi zao na waliobobea wakaamua kumtumia picha za Mtu anayeonekana katika Mitandao ili zisambae haraka lakini Mhusika Mkuu ( Mtoaji Bastola ) akiwa yupo mahala pengine na anaendelea na majukumu yake.
Nasisitiza tena kuwa tulieni na ziangalieni kwa umakini mkubwa hizo picha na mwishoni mtapata majibu kuwa tumelishwa matango pori na tumeshiba kabisa ila mchomoaji Bastola kwa Nape pale Protea kwa 100% siyo huyu mwenye picha tunazoziona Mitandaoni. Huyo Binti wenu wa Ughaibuni sasa hivi Watu wanampa taarifa za Uwongo ili kuweza kumuharibia na aonekane bure na nasikitika kwamba huu mtego hajaushtukia na kila mara anauvagaa tu.
Ijumaa Karim nyote.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mbwa wewe we mwenye picha sahihi itoe basi unahara tu mavi ya kunuka hapa...mixeewww
ReplyDeleteTuoneshe wewe unayemjua, wewe ndio walewale.
ReplyDeleteUnazingua kma umetumwa wambie hatukubaliani na mtazamo wenu ingekuwa vyema wakati unaandika huo upuuzi wako ungeweka picha ya muhusika unaemfahamu we!!unatuandikia barua ya mapenzi ya darasa la3. Alafu tukiamini cyo yeye iweje sasa!?
ReplyDeleteUkiona mtu anatoa comments za matusi jua tu IQ ndogo
ReplyDelete