Video Queen wa Harmonize Amvaa Harmorapa...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


VIDEO Queen aliyeuza nyago kwenye Ngoma ya Matatizo ya memba wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ aliyejitambulisha kwa jina la     amemvaa na kumpa makavu msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Omary Athuman ‘Harmorapa’ akimtaka kuacha kutumia jina la Harmonize kujitafutia umaarufu.

Akistorisha na Show Biz Xtra, Glady alifunguka kuwa anachukizwa na Harmorapa kumtumia Harmonize kupata jina kwani angeweza kutoka bila kutumia jina la Harmonize.

“Huyu Harmorapa ananichukiza sana. Hivi ni lazima atumie jina la Harmonize? Kiukweli sipendi kabisa staili yake hiyo na nikikutana naye nitampa makavu bila woga,” alisema Glady
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ukiwa kama nani kwa Harmonize kwa mfano

    ReplyDelete

Top Post Ad