Dada Yake Diamond Amfungukia Haya Ali Kiba..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


FIRST Lady wa Wasafi Classic Baby (WCB), Mwanaisha Abdul ‘Queen Darleen’ amefunguka kuwa hajawahi kumkosa (kummisi) staa mwenzake wa Bongo Fleva, Ali Kiba ambaye kitambo alikuwa mshkaji wake wa karibu.

Akipiga stori na Show Biz Xtra,Queen Darleen alisema kuwa, mara ya mwisho kuwasiliana na Kiba ni miaka mingi iliyopita na wala hashangazwi na kushtushwa na ukimya huo kwa kuwa huwa anamuona kwenye runinga akiwa fiti.

“Nina miaka mingi sana sijawasiliana naye wala sijammisi sababu kila siku huwa namuona kwenye runinga, bila shaka atakuwa buheri wa afya. Hata namba niliyokuwa nayo sina uhakika kama ni ileile au amebadilisha, kama bado anayo ipo siku nitamcheki ila kama amebadilisha ndiyo nitolee,’’ alisema Darleen.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad