AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, tayari rapper huyo mkongwe amevunja show zake alizotakiwa kufanya Jumatano mjini Los Angeles na ya San Diego aliyotakiwa kuifanya Alhamisi ya leo. Show ya kwanza kuvunjwa ilikuwa ya Santa Anna, California aliyotakiwa kuifanya siku ya Jumanne.
Afya ya DMX ilionekana kua mbaya kuanzia wikiendi iliyopita akiwa na kundi lake la Ruff Ryders.Wakati wa show hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Barclays Center, Brooklyn, rapper huyo hakufanya kile kilichotarajiwa na mashabiki kutokana na afya yake kutetereka akiwa stejini.
Inadaiwa kuwa, kuzorota kwa afya ya DMX inatokana na matumizi ya pombe kali na dawa za kulevya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK