AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge huyo ameandika hayo kupitia ukurasa wake Twitter hivi:
Quality ,Dar port and Cost ya Gesi inayotoka Tz ndo competitive edge ya Ma kampuni ya Tz dhidi ya Yale ya kenya uamuzi huu si sawa.
Serekali ya Kenya imezuia Gesi za matumizi ya nyumbani zinazotoka Tz kuingia Kenya ni vizuri Kenya ikaheshimu EAC treaty “Common mkt”
Bashe amesema hayo baada ya serikali ya Kenya, kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Andrew Kamau kupiga marufuku uagizaji wa gesi ya kupikia kutoka Tanzania kupitia mipaka ya nchi hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK