ALICHOKISEMA Ne - Yo Baada ya Diamond Kuanzisha Manukato Yake ya Chibu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MKALI wa muziki wa RnB nchini Marekani, Shaffer Smith (NE-YO) amempongeza staa wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul (Diamond) kwa kuzindua manukato yake yajulikanayo kama Chibu.

Ne-Yo, aliyeshirikishwa na Diamond kwenye wimbo wa ‘Marry You’, ameshindwa kuzuia hisia zake na kumpa pongezi msanii huyo kwa hatua aliyofikia ya kuwa na manukato yake, kama ilivyo kwa wasanii wakubwa nchini Marekani.

Ne-Yo amesema, hiyo ni hatua kubwa kwa msanii huyo katika biashara na amemtakia kila la heri katika biashara hiyo na mambo yake mengine.

Mbali na Ne-Yo, wasanii wengine waliomtumia pongezi Diamond kwa hatua aliyopiga ni pamoja na Kingsley Okonkwo (Kcee) kutoka nchini Nigeria na Jah Prayzah wa Zimbabwe.

Baadhi ya wasanii wakubwa duniani wenye manukato yao ni pamoja na Robyn Rihanna, Kelly Rowland, Sean Combs ‘Diddy’ Beyonce, 50 Cent na wengine wengi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad