Alichokisema Rayvanny Baada ya Ali Kiba Kuonekana Akiimba Wimbo Wake Kwenye Gari..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Alikiba alijikusanyia pointi tatu mapema wiki hii kutoka upande wa hasimu wake Diamond baada ya kuonekana akiimba wimbo wa Raymond ‘Kwetu’.

Akiongea na kipindi cha Dj Show cha Radio One, kitendo hicho kimeonyesha kumfurahisha kinda huyo kutoka lebo ya WCB ambao ni mahasimu wakuwa wa hitmaker wa Aje.

“Nimefurahi sana kwa sababu wale ndio watu walioanza muziki kitambo na ukiona wanapenda unachokifanya inaonyesha njia nzuri uendelee kukaza ili uendelee kuwagusa mashabiki wengi. Inanipa moyo niendelee kukaza zaidi na zaidi,” amesema Rayvanny.

Hii ni hatua nzuri kwa Ray kwani alishawahi kusema hakuna tatizo hata akifanya wimbo na Alikiba japo hawapikiki chungu kimoja na bosi wake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad