Harmorapa Afunguka Kuhusu Utajiri Alionao na Suala la Yeye Kumiliki Bastola..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Harmorapa amefunguka kuhusu kumiliki bastola yake binafsi.Rapper huyo machachari ambaye kila kukicha huteka vichwa vya habari kutokana na vituko vyake, amekiambia kipindi cha Dj Show cha Radio One,japo ana mali nyingi kwa sasa lakini hafikirii kuwa na bastola kwakuwa ana ulinzi wa kutosha.

“Sasa hivi nina pesa nyingi, nina gari nini. Lakini sijawaza au kufikiri siku nije kumiliki bastola kwa sababu eti nina pesa sijawaza kwa muda huu ila sijajua huko mbeleni iatkuwaje,” amesema Harmo.

“Nikisema kwaajili ya kujilinda unajua sasa hivi mimi nina bodyguard wangu ameshiba na ameenda hewani. Hata ninapokaa kwenyewe nina ulinzi mpaka umfikie Harmorapa kuna kazi kubwa sana na unaweza usionane naye,” ameongeza.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad