AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Serikali ya Kenya kupitia Katibu Mkuu wa wizara ya nishati na madini amepiga marufukuu uagizaji wa gesi kutoka Tanzania kupitia mipakani ya nchi hizo.
Katibu mkuu huyo amesema gesi itaaingia Kenya kupitia bandari ya Mombasa tu. Nia serikali ya Kenya inataka mradi wa kuweka gesi hizo kwenye mitungi uwekezwe Kenya.
Siku za hivi karibuni kutokana kwa kupatikana kwa gesi hapa Tanzania wakenya waliagiza mitungi ya gesi kupitia mipakani mwa nchi hizo mbili. Gesi kutoka Tanzania ilinunuliwa kwa bei nafuu.
sources: Daily Nation of Kenya.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK