Natongozwa na Vibabu Tu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


SHIKAMOO babu, mimi naitwa Aisha wa Buguruni, natamani sana kuolewa babu lakini tatizo langu vijana wenzangu hawanitongozi, sanasana natongozwa na vibabu tu, tena ambavyo vimeshazeeka eti nikawe mke wa pili. Nisaidie nifanyeje na mimi niolewe na kijana mwenzangu?

JIBU: Matatizo yenu mabinti wa siku hizi hamuamini kama hao vijana wenzenu siyo waoaji, sisi wazee ndiyo tunaojua kuwalea mabinti wazuri na wabichi kama wewe.

Mi nakushauri nitafute tuzungumze ana kwa ana huenda nikakupa mbinu nyingine nzuri tu na pengine utakubali mwenyewe kuwa mke wangu wa pili, sisi wazee tunajua mambo bwana, hamshangai bibi yenu kaniganda mpaka leo?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad