AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi ameeleza Bungeni mjini Dodoma kuwa imekuwa vigumu watu kutambua kuwa mapenzi yamekuwa yakiendana na kipigo kwa wapendanao hivyo kuhatarisha maisha.
Prof. Palamagamba ameeleza hayo wakati akijibu swali la Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema) kuhusu mkakati wa serikali kupambana na tatizo la ukeketaji wa watoto wa kike na unyanyasaji wa wananwake jambo ambalo ni kinyume cha sheria ya nchi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK