AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea kwenye kipindi cha eNewz Nicole amedai yeye hafahamiani kabisaa na Vanessa Mdee anasema anamjua kama msanii ila anatambua kuwa mzazi mwenzake huyo ambaye ni mbunge yupo karibu na msanii huyo wa bongo fleva.
"Mimi nasikia tu stori lakini mimi na huyo mwanaume tumeshaachana tayari na kuachana kwetu siyo sababu ya Vanessa. Huyo Vanessa mimi simfahamu zaidi ya kumuona tu kwenye tv kwa hiyo siwezi kumnunia kwa sababu yeye ni mwanamke kama wengine na kama amependwa pia sio mbaya ila mimi nilimuuliza pia mzazi mwenzangu baada ya kusikia na akasema kuwa hana mahusiano naye ila anamchukulia kama mdogo wake. Kwa hiyo mimi na mzazi mwenzangu bado tunawasiliana kwa sababu tuna mtoto pamoja " alisema Nicole
Nicole ni moja kati ya waigizaji wa bongo movie ambao wanafanya vizuri na sasa ni mama wa mtoto mmoja ambaye amezaa na mbunge. Mtazame zaidi hapa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK