Nicole Aliyezaa na Mbunge Afunguka Vanessa Kumchukulia Bwana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu nchini Nicole aliyezaa na mbunge ambaye hakutaka kuweka jina lake wazi amefunguka tetesi za mzazi mwenzake huyo kutoka kimapenzi na msanii Vanessa Mdee na kusema yeye anafahamu kuwa Vanessa na mzazi mwenzake huyo ni kama mtu na mdogo

Akiongea kwenye kipindi cha eNewz Nicole amedai yeye hafahamiani kabisaa na Vanessa Mdee anasema anamjua kama msanii ila anatambua kuwa mzazi mwenzake huyo ambaye ni mbunge yupo karibu na msanii huyo wa bongo fleva.

"Mimi nasikia tu stori lakini mimi na huyo mwanaume tumeshaachana tayari na kuachana kwetu siyo sababu ya Vanessa. Huyo Vanessa mimi simfahamu zaidi ya kumuona tu kwenye tv kwa hiyo siwezi kumnunia kwa sababu yeye ni mwanamke kama wengine na kama amependwa pia sio mbaya ila mimi nilimuuliza pia mzazi mwenzangu baada ya kusikia na akasema kuwa hana mahusiano naye ila anamchukulia kama mdogo wake. Kwa hiyo mimi na mzazi mwenzangu bado tunawasiliana kwa sababu tuna mtoto pamoja " alisema Nicole

Nicole ni moja kati ya waigizaji wa bongo movie ambao wanafanya vizuri na sasa ni mama wa mtoto mmoja ambaye amezaa na mbunge. Mtazame zaidi hapa
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad